Picha za ngono kumfuta kazi Naibu waziri Uingereza
Naibu wa waziri mkuu wa Uingereza, Damian Green, ameachishwa kazi baada ya kubainika kuwa alikiuka kanuni za uwaziri.
Bwana Green ambaye alikuwa mshirika wa karibu wa Waziri mkuu Theresa May alibainika kuwa alitoa taarifa zisizo sahihi kuhusu picha za ngono zilizokutwa kwenye komputa yake ya ofisini.
Hata hivyo kiongozi huyo amekanusha kuhusika na mashitaka yote yanaomkabili.
Mhariri wa masuala ya kisiasa wa BBC, amesema kuondoka kwa kiongozi huyo ni pigo kuwa kwa waziri mkuu .
Damian Green alikuwa anachunguzwa pia juu ya madai ya kutowaheshimu wanawake wanaharakati katika chama chake cha Conservative.
Advertisements
Sambaza
Related
Advertisements
Dondosha Instagram
LEO USIKU SAA TATU NA NUSU SIKOSE KUANGALIA FILAMU YA @sabbyangel YA "SIO RIZIKI." iLIYO IANDAA KUPITIA KAMPUNI YA Sabby Angel Entertainment Co.Ltd JUMAMOSI SAA MOJA USIKU @sinemazetu103 Thank You @AzamTv TAREH 21/04/2018 Ahsante Sana Kwa Cover nzuri @ikpoppe
.
.
.#Filamu #Swahili #Film #Tanzania #ACTRESS #AfricanMovie #filmphotography #FilmProducer #Entrepreneur #Azam #Tv #Artist #Msanii #Muigizaji #BongoMovie #DreamChasser #Actor #MomPreneur #Proffesional #MuigizajiWaFilamu #Africa #Producer #BusinessWoman #EastAfrica #World #International
Young Soul Die 😥😥😥 R.I.P @agnes_masogange
#NEWS ;- "Mzazi mwenzie na msanii @officialalikiba afunguka kuhusu ndoa ya msanii huyo #Gusalink #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
#NEWS
@mama_dangote Mama mzazi wa mwanamziki @diamondplatnumz ampongeza @officialalikiba #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
#NEWS "Na mimi ni miongoni mwa mabingwa wa kiki, najikubali"@diamondplatnumz #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
#NEWS
"NIMEANZA NA @iamkissdaniel @iambenpol
#Gusalink kusoma story yote ! #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
Tofauti kati ya Mkutano wa Zitto Kabwe kuhusu Ripoti ya CAG na mkutano wa @diamondplatnumz akizungumzia kuhusu Mabusu yake kitandani na @hamisamobetto #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
#Monday Vibe 🔥🔥🔥 @baba_knaan #tanokubwa #gusalink #infoupdates #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #hatujalimuda
I wish you love, hope and everlasting joy and happiness #happybirthday @dianaclassic_boutique
Anyone who has never made a mistake has never tried anything new. ... #topafropop#bongomovie#nandy#blackbeuty#billnass#chubbygirl#tanokubwa#wakandaforever#bestoftheday
UJUMBE WA LEO... Mwanamke na mwanaume walikuwa wakiendesha magari tofauti, yakagongana. Magari yote yakaharibika vibaya kwani ajali ilikuwa mbaya na ilisababishwa na uzembe wa mwanamke.
Pamoja na magari yao kuharibika vibaya cha kushangaza kati yao hakuna aliyeumia. Walipojivuta kutoka kwenye magari, mwanamke akasema, "Wewe ni mwanaume!...inafurahisha sana, na mimi ni mwanamke. Angalia magari yetu, hakuna kilichobakia lakini bahati nzuri hakuna aliyeumia. Lazima hii ni ishara kutoka kwa Mungu kwamba tuwe marafiki na tuishi pamoja kwa siku zote za maisha yetu zilizobakia". Mwanaume akajibu, "Nakubaliana na wewe kabisa. Lazima hii ni ishara kutoka kwa Mungu". Mwanamke akaendelea "...na angalia huu muujiza mwingine, gari yangu imeharibiwa vibaya, lakini chupa hii ya mvinyo (wine) haikuvunjika. Kwa kweli, mungu anataka tunywe mvinyo huu na kusheherekea tulivyo na bahati nzuri.
Mwanamke akampa Mwanaume ile chupa. Mwanaume akainamisha kichwa kutoa ishara ya kukubali. Mwanaume akaifungua na kunywa nusu ya mvinyo na kumrudishia mwanamke.
Mwanamke akachukua chupa, akafunga kizibo haraka na kumrudishia tena mwanaume.
Mwanaume akauliza "Haunywi hata kidogo?"
Mwanamke akajibu "Hapana, nadhani nitasubiri POLISI waje kuchukua ushahidi wao (KOSA LA DEREVA KUENDESHA GARI HUKU AMELEWA)." UMEJIFUNZA NINI?
1. Adam amekula tunda tena!
2. Wanaume hawajifunzi kamwe!
3. Wanawake hawabadiliki!
#love #instagood #me #cute #tbt #photooftheday #instamood #iphonesia #tweegram #picoftheday #igers #girl #beautiful #instadaily #summer #instagramhub #iphoneonly #follow #igdaily #bestoftheday #happy #picstitch #tagblender #jj #sky #nofilter #fashion #followme #fun #sun
Leo nimekutangulia @perfectotv 😂😂😂😂 @blacchyna🔥
___________________________ #tanokubwa #infoupdates #gusalink #swahili #2 #topafropop #soofiretv #africanbeauty #diamondplatnumz #omarion #tanzania🇹🇿 #africanmusic #afromusic #africanamerican #africatotheworld #afropop #afrobeats #afrobeat #musiccountdown #afroblogger #oneafrica #africa #tina #africanskillingit #wakandaforever #wakanda #🌍
Tafuta
Advertisements